Dira &Dhima
Dira
‘Kuwa na Jamii iliyowezeshwa Kidigitali kwa Maendeleo ya Kiuchumi na Kijamii’
Dhima
'Kuwezesha utoaji wa huduma za uhakika na za gharama nafuu za Teknolojia ya Habari, Mawasiliano ya simu na Posta kwa kuweka mazingira yanayokuza ubunifu katika kuibadilisha Tanzania kuwa na Uchumi wa Kidigitali’.