Tanzania emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Habari

WIZARA YAFANYA MAPITIO YA NAMNA YA UTEKELEZAJI WA MFUMO WA PEPMIS


Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari pamoja na taasisi zake za Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi (PDPC) na Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF) imefanya mapitio ya namna ya utekelezaji wa mfumo wa  Usimamizi na Utendaji kazi katika utumishi wa Umma (PEPMIS) chini ya Usimamizi wa wataalamu kutoka Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora.

Mapitio ya utekelezaji wa Mfumo huo yanafanyika leo Mei 22 jijini Dodoma katika ngazi ya Wakuu wa Idara, Sehemu, Kitengo na ngazi ya maafisa.

​​​​​​​